Wednesday, June 16, 2010

NEW;IBRINHO AANZA MAZOEZI AZAM FC

Leo asubuhi mchezaji ibrinho pamoja na mwenzake sagaf wameanza rasmi mazoezi katika klabu ya AZAM FC

REAL MIKUMI YAICHAPA FARU DUME 4-3


Ikicheza bila nyota wake Mooneyr pamoja Salmin vijana wa Kinido waliweza kujipatia ushindi mnono wa mabao 4 yaliyofungwa na mshambuliaji chipukizi Madenge huku captain wake akimaliza kama nyota wa mchezo huo. Ushindi huo ni wa 3 mfululizo kwa vijana hao wa magomeni