Monday, July 19, 2010
REAL MIKUMI YACHAPWA GOLI 5
Ikicheza bila nyota wake saleh, ibrinho, salmin, madenge, fopii, salim, muntasir ambao kocha aliamua kuwaweka benchi pasipokuwa na sababu yoyote ya msingi na kuwapanga wachezaji wasiokuwa na mazoezi kama vile chate, sagaf, dulla, musso, kalady,pamoja na uki vijana wa kinido walijikuta wakitandika 5 kwa 2 dhidi ya NUNGU FC wakiotawala sehemu kubwa ya mchezo hii ni fundisho na shule tosha kwa kocha huyo
Sunday, July 18, 2010
WORLD CUP IS OVER WHAT HAVE WE LEARNT???????? part 1
KUANZIA TIMU ZA NANE BORA NA TULIVYOJIFUNZA
GERMANY
Ndio timu iliyokuwa haipewi kipa umbele hasa kutokana na umri wa wachezaji wake kama vile khedira, Oezil,boateng,MUELLER,Kroos, lakini imeonyesha maajabu ma hata kuleta gumzo
BRASIL
Walipewa nafasi kubwa ya kubeba kombe lakini yakiowakuta its a lifetime story HAWATASAHAU
GERMANY
Ndio timu iliyokuwa haipewi kipa umbele hasa kutokana na umri wa wachezaji wake kama vile khedira, Oezil,boateng,MUELLER,Kroos, lakini imeonyesha maajabu ma hata kuleta gumzo
BRASIL
Walipewa nafasi kubwa ya kubeba kombe lakini yakiowakuta its a lifetime story HAWATASAHAU
Subscribe to:
Comments (Atom)
