Saturday, August 14, 2010

SALMINHO AND MOONEYR ON MARIGA'S DREAM

the new boys wants to follow mariga's dream more photos to come

Saturday, August 7, 2010

Monday, July 19, 2010

REAL MIKUMI YACHAPWA GOLI 5

Ikicheza bila nyota wake saleh, ibrinho, salmin, madenge, fopii, salim, muntasir ambao kocha aliamua kuwaweka benchi pasipokuwa na sababu yoyote ya msingi na kuwapanga wachezaji wasiokuwa na mazoezi kama vile chate, sagaf, dulla, musso, kalady,pamoja na uki vijana wa kinido walijikuta wakitandika 5 kwa 2 dhidi ya NUNGU FC wakiotawala sehemu kubwa ya mchezo  hii ni fundisho na shule tosha kwa kocha huyo

Sunday, July 18, 2010

WORLD CUP IS OVER WHAT HAVE WE LEARNT???????? part 1

KUANZIA  TIMU ZA NANE BORA NA TULIVYOJIFUNZA

GERMANY
Ndio timu iliyokuwa haipewi kipa umbele hasa kutokana na umri wa wachezaji wake kama  vile khedira, Oezil,boateng,MUELLER,Kroos, lakini imeonyesha maajabu ma hata kuleta gumzo

BRASIL
Walipewa nafasi kubwa ya kubeba kombe lakini yakiowakuta its a lifetime story HAWATASAHAU

Wednesday, June 16, 2010

NEW;IBRINHO AANZA MAZOEZI AZAM FC

Leo asubuhi mchezaji ibrinho pamoja na mwenzake sagaf wameanza rasmi mazoezi katika klabu ya AZAM FC

REAL MIKUMI YAICHAPA FARU DUME 4-3


Ikicheza bila nyota wake Mooneyr pamoja Salmin vijana wa Kinido waliweza kujipatia ushindi mnono wa mabao 4 yaliyofungwa na mshambuliaji chipukizi Madenge huku captain wake akimaliza kama nyota wa mchezo huo. Ushindi huo ni wa 3 mfululizo kwa vijana hao wa magomeni

Thursday, May 20, 2010

Tuesday, May 18, 2010

mabadiliko ya nyimbo za kombe la dunia je ni sawa?

Ilianza ya k'naan waving flag ambayo ilibamba ile mbaya mpaka ikaifunika ile ya Akon ya oh africa na sasa iliyochaguliwa ni ya mwanamama Shakira a.k.a kiuno bila mfupa na kibao chake cha waka waka this time for africa

Monday, May 17, 2010

OUR STARS THIS WEEK: SALMIN ABDULHAKIM NA IBRAHIM MOHAMMED "IBRINHO"

PLAYERS PROFILES

MAN IN FRANCE JERSEY

NAME: SALMIN ABDULHAKIM
AGE: 19
POSITION: STRIKER
HEIGHT: 178cm
WEIGHT: 70kgs
MATCH PLAYED: 7
GOAL SCORED: 1
FIRST TEAM START: 2

MAN IN CHELSEA JERSEY

 NAME: IBRAHIM MOHAMMED
 NICKNAME: PATO, IBRINHO
 AGE:17
 POSITION: MIDFIELDER
 HEIGHT: 175cm
WEIGHT: 60kgs
MATCH PLAYED: 7
GOALS SCORED: 2
FIRST TEAM START: 7

OTHERS: he is a team captAIN

Monday, March 1, 2010

ibrinho 26, Real Mkumi and Shein Rangers says "GET WELL AARON RAMSEY

Aaron ramsey suffers a broken leg during arsenal met  stoke city in English premier league it was stoke defender Shawcross who made unwanted tackling against ramsey.Arsenal won 3-1.  photo by getty images

new

Shein Rangers Sports Club: MCHEZAJI SHEIN RANGERS SPORTS CLUB AWA MWANAMICHEZO WA WIKI 5 SPORTS

Shein Rangers Sports Club: MCHEZAJI SHEIN RANGERS SPORTS CLUB AWA MWANAMICHEZO WA WIKI 5 SPORTS

new

THE CAPTAIN IS BACK AFTER TWO WEEKS BAN

Ibrinho or pato is back again after  two weeks ban. BUT he was having his training under shein rangers coach mr Rashid "chidy"
new

Friday, February 12, 2010

EBRAH SET A NEW RECORD WITH REAL MIKUMI FC

Ebra has been choosen as the first REAL MIKUMI captain since it has established  in 03 january 2010 and till now he is a leading goal scorer with 10 goals in 8 matches