Saturday, August 14, 2010
SALMINHO AND MOONEYR ON MARIGA'S DREAM
the new boys wants to follow mariga's dream more photos to come
Saturday, August 7, 2010
Monday, July 19, 2010
REAL MIKUMI YACHAPWA GOLI 5
Ikicheza bila nyota wake saleh, ibrinho, salmin, madenge, fopii, salim, muntasir ambao kocha aliamua kuwaweka benchi pasipokuwa na sababu yoyote ya msingi na kuwapanga wachezaji wasiokuwa na mazoezi kama vile chate, sagaf, dulla, musso, kalady,pamoja na uki vijana wa kinido walijikuta wakitandika 5 kwa 2 dhidi ya NUNGU FC wakiotawala sehemu kubwa ya mchezo hii ni fundisho na shule tosha kwa kocha huyo
Sunday, July 18, 2010
WORLD CUP IS OVER WHAT HAVE WE LEARNT???????? part 1
KUANZIA TIMU ZA NANE BORA NA TULIVYOJIFUNZA
GERMANY
Ndio timu iliyokuwa haipewi kipa umbele hasa kutokana na umri wa wachezaji wake kama vile khedira, Oezil,boateng,MUELLER,Kroos, lakini imeonyesha maajabu ma hata kuleta gumzo
BRASIL
Walipewa nafasi kubwa ya kubeba kombe lakini yakiowakuta its a lifetime story HAWATASAHAU
GERMANY
Ndio timu iliyokuwa haipewi kipa umbele hasa kutokana na umri wa wachezaji wake kama vile khedira, Oezil,boateng,MUELLER,Kroos, lakini imeonyesha maajabu ma hata kuleta gumzo
BRASIL
Walipewa nafasi kubwa ya kubeba kombe lakini yakiowakuta its a lifetime story HAWATASAHAU
Wednesday, June 16, 2010
NEW;IBRINHO AANZA MAZOEZI AZAM FC
Leo asubuhi mchezaji ibrinho pamoja na mwenzake sagaf wameanza rasmi mazoezi katika klabu ya AZAM FC
REAL MIKUMI YAICHAPA FARU DUME 4-3
Ikicheza bila nyota wake Mooneyr pamoja Salmin vijana wa Kinido waliweza kujipatia ushindi mnono wa mabao 4 yaliyofungwa na mshambuliaji chipukizi Madenge huku captain wake akimaliza kama nyota wa mchezo huo. Ushindi huo ni wa 3 mfululizo kwa vijana hao wa magomeni
Thursday, May 20, 2010
Tuesday, May 18, 2010
mabadiliko ya nyimbo za kombe la dunia je ni sawa?
Ilianza ya k'naan waving flag ambayo ilibamba ile mbaya mpaka ikaifunika ile ya Akon ya oh africa na sasa iliyochaguliwa ni ya mwanamama Shakira a.k.a kiuno bila mfupa na kibao chake cha waka waka this time for africa
Monday, May 17, 2010
OUR STARS THIS WEEK: SALMIN ABDULHAKIM NA IBRAHIM MOHAMMED "IBRINHO"
PLAYERS PROFILES
MAN IN FRANCE JERSEY
NAME: SALMIN ABDULHAKIM
AGE: 19
POSITION: STRIKER
HEIGHT: 178cm
WEIGHT: 70kgs
MATCH PLAYED: 7
GOAL SCORED: 1
FIRST TEAM START: 2
MAN IN CHELSEA JERSEY
NAME: IBRAHIM MOHAMMED
NICKNAME: PATO, IBRINHO
AGE:17
POSITION: MIDFIELDER
HEIGHT: 175cm
WEIGHT: 60kgs
MATCH PLAYED: 7
GOALS SCORED: 2
FIRST TEAM START: 7
OTHERS: he is a team captAIN
MAN IN FRANCE JERSEY
NAME: SALMIN ABDULHAKIM
AGE: 19
POSITION: STRIKER
HEIGHT: 178cm
WEIGHT: 70kgs
MATCH PLAYED: 7
GOAL SCORED: 1
FIRST TEAM START: 2
MAN IN CHELSEA JERSEY
NAME: IBRAHIM MOHAMMED
NICKNAME: PATO, IBRINHO
AGE:17
POSITION: MIDFIELDER
HEIGHT: 175cm
WEIGHT: 60kgs
MATCH PLAYED: 7
GOALS SCORED: 2
FIRST TEAM START: 7
OTHERS: he is a team captAIN
Monday, March 1, 2010
ibrinho 26, Real Mkumi and Shein Rangers says "GET WELL AARON RAMSEY
Friday, February 12, 2010
EBRAH SET A NEW RECORD WITH REAL MIKUMI FC
Ebra has been choosen as the first REAL MIKUMI captain since it has established in 03 january 2010 and till now he is a leading goal scorer with 10 goals in 8 matches
Subscribe to:
Comments (Atom)






