Sunday, July 18, 2010

WORLD CUP IS OVER WHAT HAVE WE LEARNT???????? part 1

KUANZIA  TIMU ZA NANE BORA NA TULIVYOJIFUNZA

GERMANY
Ndio timu iliyokuwa haipewi kipa umbele hasa kutokana na umri wa wachezaji wake kama  vile khedira, Oezil,boateng,MUELLER,Kroos, lakini imeonyesha maajabu ma hata kuleta gumzo

BRASIL
Walipewa nafasi kubwa ya kubeba kombe lakini yakiowakuta its a lifetime story HAWATASAHAU

No comments:

Post a Comment